WAZIRI MKUU WA NEW ZEALAND: HAKUNA MGONJWA WA KORONA TENA

Waziri Mkuu wa New Zealand Jacinda Arden amesema wataondoa rasmi Lockdwon nchini humo kwasababu hakuna mgonjwa wa corona tena.

Mgonjwa wa mwisho wa corona ametangazwa kupona tayari na sasa hakuna mgonjwa mwingine wa corona na hakujaripotiwa maambukizi mapya kwa siku 27 sasa
”huu ugonjwa unawezekana kabisa kupambana nao na ukaondoka, kikubwa ni kuacha uoga na kutishana.

Rais Magufuli jana, alisema Mungu amejibu maombi ya Watanzania ambao wamesali, wamefanya toba na kufunga, na matokeo yake maambukizi ya corona yamepungua na wananchi wanaendelea na maisha yao huku wakichapa kazi, tofauti na ilivyodhaniwa kuwa corona ingesababisha madhara makubwa. 
#AfyayakoUPDATES

Comments