
“Mkuu wa Wilaya Dodoma (Katambi) pia nae hajaoa kama DED (Kunambi), lazima tusemane hapahapa, na wewe uoe, huwezi kukaa na Viongozi wakubwa wa Makao Makuu hawana Wake, wakati Wasichana wapo wanapita hapa wengine wapo UDOM, CBE, Mipango wewe huoni tu!?”-JPM
“DC Dodoma na DED Dodoma mnataka muambiweje (ndio muoe), maana nyinyi
sio Mapadri, sasa macho yenu hayaoni!?, wewe Nchimbi una Mke eeh? haya
waambie hawa waoe..nilikuwa nachomekea tu kwamba tupo kwenye Makao Makuu
ila tunaongozwa na Vijana ambao hawajaoa”-JPM
#AfyayakoUPDATES
Comments
Post a Comment