RAISI MAGUFULI AWASHUKURU VIONGOZI WA DINI

Rais Magufuli amewashukuru Viongozi wa Dini na Watanzania wote kwa kuitikia wito wa kumuomba Mungu ili aliepushe Taifa na corona, ametoa shukrani hizo leo alipokaribishwa kuwasalimu Waumini wa Kanisa Katoliki, Parokia ya Bikira Maria Imakulata,Chamwino, Dodoma.
#AfyayakoUPDATES

Comments