
Katika taarifa, amesema kumekuwa na udhaifu katika utendaji kazi na uwazi kati ya timu mbalimbali zinazoshughulika na janga hilo.
Kwa hiyo ameamua kujiuzulu ili kuendelea kutekeleza majukumu yake ya
kuwatibu wagonjwa wanaoendelea kufurika katika hospitali yake ya Panzi.
Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo imeripoti maambukizi 4,390 ya Corona,
vikiwemo visa 3,980 mjini Kinshasa, na 89 Kivu Kusini na jumla ya vifo
96.
#AfyayakoUPDATES
USISAHAU KUBONYEZA SEHEMU ILIYOANDIKWA JISAJILI ILI UWE WA KWANZA KUPATA TAARIFA.
Comments
Post a Comment