
Mkuu wa kitengo cha kushughulikia masuala ya dharura katika shirika hilo la WHO Dkt. Michael Ryan alitaja visa tisa vya maambukizi vilivyothibitishwa katika maabara na visa vitatu vinavyoshukiwa katika mripuko huo mpya.
Mwishoni mwa mwezi uliopita, rais wa Marekani Donald Trump alisema
anavunja ushirikiano wa Marekani na shirika hilo la WHO, lakini
mazungumzo yanaashiria kuwa bado Marekani inaona umuhimu wa kuendelea
kushirikiana nalo.
#AfyayakoUPDATES
Comments
Post a Comment