
''Ni bora ofisi za majengo ya CUF waliyoyahodhi na kuyapaka rangi za ACT Wazalendo wazirejeshe kwani hali hiyo inaweza kuwasababishia adhabu kubwa dhidi ya kupora ofisi hizo'', amesema.
Aidha Profesa Lipumba amesema vyama vya siasa visiwe chanzo cha uadui na
badala yake wafanye siasa za kisasa na kushindana kwa hoja kuwa nani
anayeweza kutumia wananchi vizuri zaidi kwani katiba ya umoja wa kitaifa
inawapa fursa ya kuweza kutekeleza Sera zao.
#AfyayakoUPDATES
Comments
Post a Comment